Thursday, 6 August 2009

HAPA NI MTITU MTITU MAISHA CLUB JANA !

Ferguson akiimba kwa hisia fulani hivi .


Ndio zao hizo !

Wanainua visigino vyao taratibu .


Kikosi cha kupepeta kipo kazini .




Kupaza akideka sambamba na mikito .


Burudani ilipendeza kwa sana kiasi watu wakliotia timu ndani ya njengo wakabaki midomo wazi wasijui cha kufanya zaidi ya kwenda kwenye sakafu ya dansi yaani pale katikati wakajibana bana weeeee!

1 comment:

Born 2 Suffer said...

Safi sana wana wa kutwanga na kupepeta.